Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 29, 2010

mzee makasy amtembelea kamanda gurumo muhimbili leo

mwanamziki wa siku nyingi mzee makasy akimjulia hali mwenzie muhidini gurumo (KAMANDA) alielazwa hospital ya taifa muhimbili gurumo yupo mwaisera wodi namba moja baada ya kutoka katika chumba cha wagojwa wenye uangalizi maalumu (ICU)


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...