Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 23, 2012

MDAU Happy Katabazi ACHAPA KAZI AKIWA BRAZIL


Happiness Katabazi (katikati)nikiwa na Wanadiplomasia toka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,katika hoteli ya Mar Palace kitongoji cha Capo Cabana jijini Rio da Janeiro,Brazil muda mchache uliopita.Tunaishi katika hoteli hii tangu tufike hapa kuudhulia mkutano wa Rio +20 uliomilizika leo. Kushoto ni Pangipita na kulia kwangu ni Sangelael Shilla

1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...