Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, April 13, 2014

MANNY PAQUAIO AMSHINDA TIMOTHY BRADLEY KWA POINT


 Bondia Manny Paquaio kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Timothy Bradley wakati wa mpambano wao uliofanyika leo alfajili manny pac alishinda kwa point
Bondia Timothy Bradley kushoto akipambana na Manny Pacquiao wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa WBO welterweight champion uliofanyika alfajili ya leo katika ukumbi wa MGM Grand in Las Vegas, Nevada. USA  Paquaio alishinda kwa pointi katika mchezo uho wa marudiano
Bondia Manny Paquaio kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Timothy Bradley wakati wa mpambano wao uliofanyika leo alfajili manny pac alishinda kwa point
Bondia Timothy Bradley kushoto akipambana na Manny Pacquiao wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa WBO welterweight champion uliofanyika alfajili ya leo katika ukumbi wa MGM Grand in Las Vegas, Nevada. USA  Paquaio alishinda kwa pointi katika mchezo uho wa marudiano
POSTERS

1 comment:

  1. Mbona habari za mapambano yaliofanyika hapa tanzania hamuambiiii nanini kashindwa au kushindwaaa??????????????

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...