Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 16, 2015

RC KILIMANJARO,AMOSI MAKALA ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MAWENZI




Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro  Amos Makala akisalimiana na wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kutembelea idara mbalimbali hospitalini hapo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akitia saini katika kitabu cha wageni maara baada ya kuwasili katika hosptali ya Rufaa ya Mawenzi mkaoni Kilimanjaro.
Mganga mkuu wa mkoa wa Kilimajaro Hajati, Dkt Mtumwa Mwako akifanya utamburisho wa watumishi wa hosptali hiyo katika ukumbi mdogo wa mikutano hospitalini hapo.
Baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi ya mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Novatus Makunga akizungumza jambo katika kikao cha mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Amos Makala na watumishi wa Hopstali ya rufaa ya Mawenzi.
Mganga mfawidhi wa Hospitali ya rufaa ya Mawenzi Dkt ,Bingilaki Rwezaula (kushoto) akiwa na watumsihi wengine wa hospitali hiyo. 
Katibu wa Hosptali ya Rufaa ya Mawenzi ,Boniface Lyimo akisoma taarifa ya hospitali hiyo kwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala (hayupo pichani)
Baadhi ya wakuu wa vitengo mbalimbali katika hospitali ya Rufaa ya Mawenzi ,mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amos Makala akizungumza na watumishi wa Hopstali ya Rufaa ya Mawenzi mara baada ya kutembelea hosptali hiyo.
Badhi ya watumishi katika hospitali hiyo.
RC Makala akizungumza na mmoja wa wzee waliofikisha wagonjwa wao katika hospitali ya Mawenzi.
RC Makala akizungumza na mmoja wa wauguzi katika hospitali hiyo,kushoto ni mganga mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Hajati,Dkt Mtumwa Mwako.
Mganga Mfawidhi wa Hopstali ya Rufaa ya Mawenzi,Dkt Bingilaki Rwezaula akimuelekeza maeneo mbalimbali mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Amos Makala alipotembelea hospitalini hapo.
RC Makala akizungumza na mmoja wa wazee waliofika katika hospitali hiyo kupata matibabu.
RC Makala akitizama hali ya wagonjwa katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi.
RC Makala akizungumza jambo na mkuu wa idara ya Bima ,Dkt Saganda katika hospitali hiyo.
RC Makala akizungumza na mmoja wa wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo.
Wodi ya kina mama.
RC Makala akisalimiana na mmoja wa wauguzi wa zamu katika hospitali hiyo.
RC Makala akizungumza na mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina baba.
RC Makala akizungumza na madkarai wa zamu katika hospitali ya Mawenzi.
RC Makala akitoa maelekezo kwa mkuu wa wilaya ya Moshi,Makunga baada ya kupata maelezo toka kwa mmoja wa wagonjwa katika hospitali hiyo namna alivyojeruhiwa .
RC Makala akiwa katika wodi ya watoto katika hospitali ya Mawenzi.
RC Makala akitembelea jengo jipya la wodi ya wazazi linalojengwa katika hospitali hiyo.
RC Makala akiondoka katika hospitali ya rufaa ya Mawenzi mara baada ya kutembelea idara mbalimbali hospitalini hapo kujionea namna huduma zinavyotolewa.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

1 comment:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...