Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, November 16, 2018

SUPER D COACH AMFUA MBWANA CHINENDA KWA AJILI YA KUZIPIGA NOVEMBA 30


Mbwana chinenda kg 57


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimwelekeza bondia Mbwana chinenda  jinsi ya kupiga ngumi iliyo nyooka 'Jab' wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na   Nassoro Nyange Novemba 30 katika ukumbi wa  ukumbi wa Champion Nifht Club uliopo Gongolamboto Dar es salaam Picha na Super D Boxing News


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimwelekeza bondia Mbwana chinenda  jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'Upcat'  wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Nassoro Nyange   Novemba 30 katika ukumbi wa  ukumbi wa Champion Nifht Club uliopo Gongolamboto Dar es salaam Picha na Super D Boxing News

2 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...