Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya simu za Mikononi ya Zantel,Ikechukwu Kalu (kushoto) akizungumza na waandish wa habari wakati wa kutangaza kuzamini mashindano ya mchezo wa Golf ya wazi ya mwisho wa mwezi yatakayofanyika jumamosi Viwanja vya Gymcana Dar es Salaam.Wa kutoka kulia ni Ofisa Mkuu wa Masoko wa Zantel, Nitish Malik, Kaptani wa Golf, Joseph Tango na Mkuu wa mawasiliano wa Zantel, William Mpinga.
ZANTEL YADHAMINI MASHINDANO YA MCHEZO WA GOFU
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini
Aliongeza kusema kuwa ana uhakika kwamba mwendelezo wa udhamini wa Zantel katika mchezo wa gofu utakuwa changamaoto kwa watu wengine kujifunza gofu na pia kupitia njia hiyo kuna uwezekano wa kupata wachezaji wazuri ambao hapo baadaye wanaweza kuiwakilisha
No comments:
Post a Comment