![]()  | 
| Mgambo wa Manispaa ya Iringa wakiwa wamemweka chini ya ulinzi kijana Masha Yusuph kwa kuchafua mji | 
![]()  | 
| Hapa wakimtaka kijana huyo kuokota takataka alivyokuwa akizitupa ovyo baada ya kubandika matangazo ya Voda | 
![]()  | 
| Hapa akipelekwa ofisi za Mwanasheria kupigwa faini ya shilingi 50,000 kwa uchafuzi wa mazingira | 
![]()  | 
| Hapa akiingizwa katika ofisi za Mwanasheria | 





No comments:
Post a Comment