Mkurugenzi wa Takwimu za Kijamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), 
Morice Oyuke (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa 
habari mjini Morogoro leo wakati akifungua Warsha ya siku moja ya 
kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu namna bora ya kuandika habari za 
kitakwimu. Kulia ni Meneja wa Takwimu za Pato la Taifa, Daniel Masolwa.
No comments:
Post a Comment