
Kiongozi
 wa mbio za mwenge 2014 Rachel Kassandra akikabidhi mwenge wa Uhuru kwa 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa maadhimisho ya kilele cha mbio 
za mwenge ulius  na kumbukumbu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere 
zilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mkoani 
Tabora leo.Kulia ni Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na michezo 
Dkt.Fenela Mkangara. 

Rais 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mwenge wa Uhuru wakati wa maadhimisho
 ya kilele cha mbio za mwenge ziizofanyika mkoani Tabora leo.
.jpg)
Rais 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa 
mbio za mwenge mwaka huu wakati wa maadhimisho ya kilele cha mbio hizo 
zilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora
 leo.

 Rais 
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha mbio 
za mwenge 2014 ziilizofanyika katika uwanja wa michezo wa Ali Hassan 
Mwinyi mjini Tabora leo(picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment