NA MWANDISHI WETU
BONDIA Juma Choki Baada ya kumgalagaza bila ya huruma Emanuel Mwakyembe na kuchukua ubingwa wa King Of The Ring 2019 katika uzito wa KG 58 amesema ato bweteka kwa kuwachua ubingwa huo
ambapo alipewa zawadi ya pikipiki pamoja na kitita cha shilingi laki tano amesisitiza ato bweteka kwa kuwa bingwa wa mashindano hayo ata hivyo ameomba kuwa andaliwe ubingwa wa taifa ndio matarajio yake kwa sasa akichukuwa ubingwa wa taifa kisha ataenda juu kuchukuwa ubingwa wa Afrika arafu ubingwa wa Dunia
Bondia huyo mwenye ndoto ya kuwa bingwa wa Dunia kupitia mchezo wa masumbwi nchini Tanzania kwa kuchukuwa mikanda nje ya nchi na kuletea sifa Tanzania
Akizungumza kocha wake ambaye ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa choki ni bondia mzuri na malengo yake ni kufika mbali na kweli atafika anapo pataka kwani kwenye nia pana njia
ikumbukwe kuwa mimi ndio nimewatoa mabondia mabingwa wa dunia ambao wamepita katika mikono yangu kama vile Ibrahimu Class 'King Class Mawe' Idd Mkwela Vicent Mbilinyi Sunday Kiwale Ibrahimu makubi ambaye kwa sasa yupo mazoezini akijiandaa na mpambano wake na abdallah kingolwira wa morogoro pambano litakalofanyika Oktoba 4 katika ukumbi wa 361 mwenge pale jeshini
hivyo nina uwakika na mabondia wangu wote ninaowafundisha na siku zoto sinaga kazi mbovu

supreme shirt
ReplyDeleteadidas tubular
off white nike
cheap jordans
lebron 17
curry shoes
ferragamo sale
balenciaga
yeezy 700
golden goose sneakers
Kwa miaka mingi, nilipambana kimyakimya ukosefu wa usalama kwa sababu ya ukubwa wangu. Iliniondolea kujiamini, kudhoofisha uhusiano wangu, na kuniacha nikijihisi si mwanaume. Kisha nikakutana na Dk. Dawn - zawadi ya kweli kutoka kwa ulimwengu. Kwa uwezo wake wa ajabu wa kiroho, mabadiliko yangu yalikuwa zaidi ya kile nilichoamini kuwa kingeweza kutokea. Leo, ninajivunia, ninajiamini, na nimeridhika kabisa. Dk. Dawn hakubadilisha ukubwa wangu tu - alirudisha heshima yangu na kunipa maisha mapya ya furaha
ReplyDeleteJisikie huru kuwasiliana naye kwa usaidizi,
Ukitaka kukuza uanaume wako,
*Kama unataka kutibu figo/moyo/maambukizi yako.
*Kama unataka kupata mimba au kutibu ugumba.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako, mume/mkeo.
*Ukitaka kumvutia mtu katika maisha yako. Mpya / Mpenzi wa zamani.
*Ikiwa unataka kushinda kesi za bahati nasibu/ Curt, au kupata pesa au mali zako.
Yake, barua pepe dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp yake: +2349046229159