Monday, October 4, 2021
DULA MBABE ULINGONI TENA OKTOBA 9 P.T.A SABASABA CHEKA NDANI NAE SIKU HIYO
DULA MBABE ULINGONI TENA OKTOBA 9 P.T.A SABASABA CHEKA NDANI NAE SIKU HIYO
NA MWANDISHI BONDIA ABDALLAH PAZI 'DULLA MBABE' atapanda ulingoni kwa ajili ya mpambano wake mwingine zidi ya Alex Kabangu kutoka DRC YA kONGo katika mpambano wa Raundi kumi akizungumza jijini Dar es salaam promota wa mpambano uho Kaike Siraju amesema kuwa pambano hilo la kimataifa litafanyika katika ukumbi wa P.T.A Saba saba siku ya kumamosi hivyo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi wanapaswa kujitokeza kwa wingi siku hiyo kwani wameandaa ngumi zitakazoleta burudani ya kutosha siku ya Oktoba 9 Kaike aliongeza kwa kusema kuwa siku ya jumatano bondia kutoka Kongo Alex Kabangu atapokelewa na kufanya mahojiano na wahandishi wa habari za michezo siku hiyo hiyo katika uwanja wa ndege wa kimataifa hivyo amewaomba mashabiki kujitokeza katika mpambano uho aliongeza kwa kusema kuwa siku ya ijumaa itakuwa ni kwa ajili ya kupima uzito na afya kwa mabondia hawo ambapo eneo la kupimia uzito ni katika viwanja vya Las Vegas vilivyopo mabibo sokoni hivyo mashabiki wotenaopmbwa kuja kushudia tukio hilo la upimaji uzito pamoja na Afya kwa mabondia ambapo tutaanza saa nne kamili asubui mpaka saa sita na nusu tutakuwa tumesha maliza mbali na mpambano uho kutakuwa na pambano lingine machachali litakalo wakutanisha bondia Cosmas Cheka kutoka Morogoro na Issa Nampepeche kutoka Dar es salaam wakizungu8mza kuhusu mpambano wake uho bondia Nampepeche amesema yeye ni bondi hivyo amejiandaa vizuri na matarajio yake ni ukushinda kwa .K.O ambayo aita wapa tabu majaji nae cheka amesema kuwa yeye ana wasiwasi kwani mazoezi kwake kama dawa kutwa mara tatu hivyo mpinzani wake ajipange
شركة عزل خزانات بالرياض
ReplyDeleteAs for waterproofing, the company aims to prevent water leakage from tanks and maintain its quality. High quality sealants are used to provide complete protection from leaks and damage.
Kwa miaka mingi, nilipambana kimyakimya ukosefu wa usalama kwa sababu ya ukubwa wangu. Iliniondolea kujiamini, kudhoofisha uhusiano wangu, na kuniacha nikijihisi si mwanaume. Kisha nikakutana na Dk. Dawn - zawadi ya kweli kutoka kwa ulimwengu. Kwa uwezo wake wa ajabu wa kiroho, mabadiliko yangu yalikuwa zaidi ya kile nilichoamini kuwa kingeweza kutokea. Leo, ninajivunia, ninajiamini, na nimeridhika kabisa. Dk. Dawn hakubadilisha ukubwa wangu tu - alirudisha heshima yangu na kunipa maisha mapya ya furaha
ReplyDeleteJisikie huru kuwasiliana naye kwa usaidizi,
Ukitaka kukuza uanaume wako,
*Kama unataka kutibu figo/moyo/maambukizi yako.
*Kama unataka kupata mimba au kutibu ugumba.
*Ukitaka kumrudisha mpenzi wako, mume/mkeo.
*Ukitaka kumvutia mtu katika maisha yako. Mpya / Mpenzi wa zamani.
*Ikiwa unataka kushinda kesi za bahati nasibu/ Curt, au kupata pesa au mali zako.
Yake, barua pepe dawnacuna314@gmail.com
WhatsApp yake: +2349046229159
Ushuhuda
ReplyDeleteNilivunjika kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli nimepoteza upendo wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dk. Dawn, na kila kitu kilibadilika.
Kwa fadhili, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alinirudishia upendo ambao nilifikiri umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dr. Dawn kweli aligeuza machozi yangu kuwa furaha.
Dk. Dawn Anaweza Kukusaidia Na:
✅ Maneno ya mapenzi
✅ Tahadhari za Ujauzito
✅ Kurejesha Ndoa/Mahusiano
✅ Dawa za mitishamba kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Magonjwa ya Moyo, Maambukizi na mengine mengi.
📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159
Usiteseke kimya kimya. Dk. Dawn anaweza kurudisha furaha katika maisha yako!