
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Padri Ambros Mkenda wa Kanisa 
Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya
 mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam 
leo Jumamosi Dsemba 29, 2012 kufuatia kupigwa risasi sehemu za mdomoni 
na watu wasiojulikana mapema wiki hii wakati akisubiri kufunguliwa geti 
la nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndani ya gari 
aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda 
pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza Padri Ambros Mkenda wa Kanisa 
Katoliki la Mpendae mjini Zanzibar anayeuguza majeraha katika taasisi ya
 mifupa ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (Moi) jijijini Dar es salaam 
leo Jumamosi Dsemba 29, 2012 kukupigwa risasi sehemu za mdomoni na watu 
wasiojulikana mapema wiki hii wakati akisubiri kufunguliwa geti la 
nyumbani kwake maeneo Kitomondo Mjini Zanzibar akiwa ndani ya gari 
aliyokuwa akiendesha akiwa pekee yake. Rais Kikwete amempa Padri Mkenda 
pole nyingi na kumuombea apate nafuu haraka

No comments:
Post a Comment