Burudan Mwanzo - Mwisho

Monday, February 25, 2013

IBRAHIMU MAOKOLA AJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE MARCH 2




Bondia Ibrahimu Maokola akifanya mazoezi ya kupiga panch bag wakati wa kujiandaa na mpambano wake na Rajabu Majeshi utakaofanyika katika ukumbi wa DDC Magomeni Kondoa March 2  Mpambano huo utakua wa utangulizi kabla ya mpambano wa Maneno Osward na Japhert Kaseba,Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Super D (Mnyamwezi) at 11:47 PM

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version
Powered by Blogger.