MMOJA
wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio,Stuart Specer kutoka
Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha
kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha,Ally Abdulrahman
aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia
kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo
PalaceJijini Arusha jana

No comments:
Post a Comment