Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, December 30, 2018

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA DESEMBA 31 KINESI



Bondia Mussa Msabaha kushoto akitunishiana misuli na Ibrahimu Makubi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika viwanja vya Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News
Bondia AZizi Uliza akingia na Farasi kwa ajili ya kupima uzito kupambana na Ramadhani Shauri desema 31 katika mpambano wa kufunga mwaka 

Bondia Azizi Uliza akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kufunga mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa kinesi uliopo Shekilango akizipiga na Ramadhani Shauri mpambano wa Raundi kumi Picha na Super D Boxing News


MABONDIA WA KIKE WAKITUNISHIANA MISULI


Na Mwandishi Wetu

Mabondia Azizi Uliza na Ramasdhani Shauri wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Desema 31 mpambano wa kufunga mwaka na kufungua mwaka

alikuwa wa kwanza kabisa kuingia katika viwanja vya las vegasi Mabibo kwa ajili ya kupima uzito ni Azizi Uliza aklieingia uwanjani kwa shangwe na ndelomo uku akisindikizwa na wapambe wake pamoja na vigoma vilivyoleta radha misri ya kuwa mpambano upo siku hiyo ya kupima kumbe ilikuwa siku ya kupima uzitio na Afya kwa mabondia wote watakaocheza

baara ya saa moja bondia Ramadhani Shauri nae akaingia na shangwe na ndelemo vifijo zaidi ya mwenzake ata hivyo nani zaidi ya mwenzie itajulikana katika uwanja wa kines Shekilango ambapo mtanange uho utapigwa kwa raundi 10

akizungumzia mpambano uho Promota  Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports amesema kuwa ulizi utakuwa ni wa kutosha kupita mahelezo ambapo mtu anaweza kuja na baiskeri yake na kuikuta salama baada ya mpambano

amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni
alisema mapambano yote hayo yatakuwa kwa kingilio cha tsh 6000 na kwa V.I.P 10000 utaweza kuangalia mapambano yote hayo yani kama vile bule

Thursday, December 20, 2018

BONDIA AZIZI ULIZA AJIFUA KUMKABILI RAMADHANI SHAURI DESEMBA 31 KINESI SHEKILANGO


Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'
Bondia Azizi Uliza akifanya mazoezi ya kuimalisha misuli ya tumbo kwa ajili ya kujiandaa na mpmbano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza akijifua kwa kupiga spidboll wakati wa mazoezo yake ya kujiandaa na mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'

Bondia Azizi Uliza 'Kulia' akioneshana umwamba wa kutupiana Makonde na Mohamedi Selemani wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Ramadhani Shauri mpambano utakaofanyika Desema 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango Picha na Super D Boxing News'


Na Mwandishi Wetu


BONDIA AZIZI ULIZA amendelea kujifua kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauri utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekilango nyuma ya urafiki

akizungumza na mwandishi wa habari hizi uliza amesema kuwa Shauri asumbui ata siku moja kwani yeye ni mkongwa na mimi ndio nachpkia hivyo sio kazi rahisi kushindana na mimi ingawa anatamba katika vyombo vya habari ikiwa kapigwa K,O mbaya na Idd Mkwera raundi ya 9 kwangu mimi asitegemee kuwa upenyo nitamwadabisha vya kutosha kwani nimejiandaa kwa ajili ya kupigana

hivyo nawaomba wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi mje muone Uliza namfanya nini Shauri nitampiga kipigo ambacho akijawai kumtokea tangu aanze ngumi

alimaliza kwa kusema Azizi Uliza

nae Promota wa mpambano uho Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports  amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni


siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Tuesday, December 18, 2018

BONDIA RAMADHANI SHAURI AJIFUA KUMKABILI AZIZI ULIZA DESEMBA 31 KINESI





Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' akimfanyika mazoezi ya kukaza misuri ya tumbo bondia Ramadhani Shauri anaejiandaa kuzipiga na Azizi Uliza Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'


Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimsimamia bondia Ramadhani Shauri kupiga beg wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'



Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipiga beg uku akiwa kasimamiwa na  Abdallah Seif 'Kamanyani'   wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'

Msimamizi wa mazoezi  Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimwelekeza bondia Ramadhani Shauri kupiga ngumi iliyonyooka wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'

MABONDIA WAJIANDAA KUZIPIGA DESEMBA 31 KINESI SHEKILANGO


Msimamizi wa mazoezi Abdallah Seif 'Kamanyani' kushoto akimsimamia bondia Ramadhani Shauri kupiga beg wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Azizi Uliza katika mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa Kinesi Shekilango maeneo ya Urafiki Picha na Super D Boxing News'
Na Mwandishi Wetu

BONDIA Ramadhani Shauri amendelea kujifua kwa ajili ya mpambano wake wa kufunga mwaka na kufungua mwaka utakaofanyika Desemba 31 katika uwanja wa kinesi shekilango maeneo ya urafiki Dar es salaam akimkabili Azizi Uliza katika mpambano wake wa raundi kumi

akizungumza na mwandishi wa habari hizi katika kambi yake iliyopo mabibo mwembeni amesema kuwa yupo fiti kwa asilimia mia hivyo sasa anasubili mpambano tu yana natamani iwe ata leo tupate kumalizana mana nitampa kipigo ambacho si chakawaida alisema Shauri

aliongeza kwa kusema mashabiki wake wajitokeze kwa wingi waje kumwangalia kwani sasa anapigana ngumi za moto hatari kwani mpinzani wake atofika raundi ya sita hivyo nawaomba mashabiki wawai kuingia uwanjani mapema kabla mpambano aujaisha


nae Promota wa mpambano uho Josepher Nyilawila kutoka kampuni ya Ijuka Sports  amesema mbali na mpambano uho siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha mabondia mbalimbali 

 Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni


siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Friday, November 16, 2018

PAUL KAMATA NA SELEMANI GALILE KUZICHAPA NOVEMBA 30 GONGOLAMBOTO


Na Mwandishi Wetu

Bondia Selemani Galile amesaini mkataba wa kuzipiga na Paul kamata Novemba 30 katika ukumbi waChampion Nifht Club uliopo Gongolamboto Dar es salaam

Mpambano uho wa kumaliza ubishi umeandaliwa na Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka Super D Boxing Promotion kwa ajili ya kukuza na kuendeleza vipaji vya mabondia mbalimbali kutoka kila upande wa Tanzania

Mbali na pambano hilo kutakuwa na mapambano mengine ya kumaliza ubishi na kukata ngebe ya nani zaidi ya mwenzie ambapo bondia Mbwana Chinenda atazipiga na Nassoro Nyange wakati Selemani Bangaiza atazidunda na Mohamedi Mpombo Frank John atazichapa na Lumeme Hussein na Bakari Mbede ataoneshana kazi na Idd Mbaraka na Iddi Juma atazipiga na Ismahil Haridi

Wakati Abdallah Zamba ataoneshana kazi na Abasi Amza  Said Ndeki atazipiga na Rashidi Mnyagatwa Abdallah Luaga na Luqman Ramahani

Promota wa mpambano uho Super D aliongeza kwa kusema kuwa kutakuwa na burudani za aina yake pamoja na ngumi zitakazo burudisha zaidi

siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini  'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

SUPER D COACH AMFUA MBWANA CHINENDA KWA AJILI YA KUZIPIGA NOVEMBA 30


Mbwana chinenda kg 57


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimwelekeza bondia Mbwana chinenda  jinsi ya kupiga ngumi iliyo nyooka 'Jab' wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na   Nassoro Nyange Novemba 30 katika ukumbi wa  ukumbi wa Champion Nifht Club uliopo Gongolamboto Dar es salaam Picha na Super D Boxing News


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimwelekeza bondia Mbwana chinenda  jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'Upcat'  wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa kuzipiga na Nassoro Nyange   Novemba 30 katika ukumbi wa  ukumbi wa Champion Nifht Club uliopo Gongolamboto Dar es salaam Picha na Super D Boxing News

Wednesday, November 7, 2018

RAMADHANI SHAURI NA AZIZI ULIZA WASAINI KUZIPIGA DESEMBA 31




Mratibu wa mpambano wa masumbwi nchini Chaurembo Parasa Katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Azizi Uliza kushoto na Ramadhani Shauri baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekirango Picha na Super D Boxing News

Mabondia Azizi Uliza kushoto wakitazamana kwa usongo mara baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Desemba 31 katika uwanja wa Kinese Shekilango

Mratibu wa mpambano wa masumbwi nchini Chaurembo Parasa Katikati akiwa na mabondia Ramadhani Shauri kushoto na  Azizi Ulizabaada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi uliopo Shekirango Picha na Super D Boxing News


Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Ramadhani Shauri na Azizi Uliza wame saini mkataba wa kuzipiga Desemba 31 katika uwanja wa Kinesi Dar es salaam uliopo maeneo ya Shekilango

akizungumza mratibu wa mpambano uho Chaurembo Palasa amesema kuwa wamejizatiti kuinuwa mabondi yeye na kampuni ya Ijuka Sports ambao wanajishughulisha na kuinuwa mchezo wa masumbwi nchini

aliongeza kwa kusema kuwa mabondia wengi wana ndoto ya kufika Marekani kucheza mchezo wa ngumi sasa kampuni hii imeanza na mapambano haya ili mradi mabondia wapate nafasi ya kupigana Marekani ambapo mchezo huu unakubalika kwa asilimia mia moja bila kupingwa mabondia watakaofanya vizuri watakwenda kupigana U.S.A

aliendelea kwa kusema siku hiyo mbali na mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka wakati Hussein Itaba atazipiga na Kanda Kabongo na Tonny Rashidi atazipiga na Nassoro Madimba kutoka Bagamoyo maeneo ya Kiwangwa na Rolen Japhert atazikunja na Mohamedi Kashinde 'Simba wa Mbagala' nae Baina Mazola ataoneshana umwamba na Faraji Sayuni

siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Friday, October 19, 2018

ISSA NAMPEPECHE NA HASHIMU CHISOLA WAPIMA UZITO KUZIPIGA OCTOBAR 20 CCM MWIJUMA MWANANYAMALA


Na Mwandishi wetu


BONDIA Issa Nampepeche na Hashimu Chisola wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa raundi kumi utakaofanyika jumamosi ya Octobar 20 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala akizungumza wakati wa upimaji  mratibu Ibrahimu Kamwe 'BigRaght' 

amesema kuwa siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali ya kukata na shoka kwani wamejipanga kuinua mchezo wa masumbwi katika kitongoji cha mwananyamala na viunga vyake

mbali na pambano hili siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka kati ya Shabani Madilu atakaezipiga na Selemani Bangaiza na bondia machachari anaekuja kwa kasi ya ali ya juu Hamisi Maya atazipiga na Zumba Kukwe kutoka Kibaha Mkoa wa Pwani  mpambano mwingine utawakutanisha Mbena Rajabu atakae oneshana umwamba na Fredy Masinde na Josephe Mbowe atazikunja na Mwinyi Mzengela 


aliongeza kwa kusema BigRight Sports and Arts Promotion imejizatiti kuinua vipaji vya mabondia chipkizi na kuwaendeleza wale walio katika chati ya juu kwa kuwandalia mapambano mbalimbali yakiwemo ya ubingwa wa taifa na yale ya ubingwa wa kimataifa

siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Saturday, October 13, 2018

NGUMI KUPIGWA OCTOBAR 20 CCM MWIJUMA MWANANYAMALA

NGUMI KUPIGWA OCTOBAR 20 CCM MWIJUMA MWANANYAMALA

Na Mwandishi Wetu
MABONDIA mbalimbali kutwangana Octoba 20 katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala wakiongwazwa na mpambano wa Issa Nampepeche atakaezipiga na Hashimu Chisora mpambano wa ubingwa raundi kumi 

akizungumzia mpambano uho mratibu Ibrahimu Kamwe 'BigRaght' amesema kuwa siku hiyo ni kwa ajili ya burudani ya mchezo wa masumbwi kwani kutakuwa na mapambano mbalimbali ya kuvutia na mabondia wanaotamba katika vitongoji mbalimbali hivyo kama mpenzi wa mchezo wa masumbwi hii si yakukosa

kwani mbali na pambano hilo kuu kutakuwa na mpambano mwingine wa kukata na shoka kati ya Shabani Madilu atakaezipiga na Selemani Bangaiza na bondia machachari anaekuja kwa kasi ya ali ya juu Hamisi Maya atazipiga na Zumba Kukwe kutoka Kibaha Mkoa wa Pwani  mpambano mwingine utawakutanisha Mbena Rajabu atakae oneshana umwamba na Fredy Masinde na Josephe Mbowe atazikunja na Mwinyi Mzengela siku hiyo mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine mbalimbali siku hiyo

aliongeza kwa kusema BigRight Sports and Arts Promotion imejizatiti kuinua vipaji vya mabondia chipkizi na kuwaendeleza wale walio katika chati ya juu kwa kuwandalia mapambano mbalimbali yakiwemo ya ubingwa wa taifa na yale ya ubingwa wa kimataifa

siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

mpaka kujua kitu kamili katika

mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd


Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani zilizo taharishwa na kocha maili wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye anajishughulisha na uzaji wa vifaa mbalimbali vya ngumi nchini kama vile Glove gumshirt clip bandeji bukta protecter na vifaa vingine

Saturday, October 6, 2018

MABONDIA KUTOKA KWA SUPER D COACH WACHANGIA DAMU KUOKOA MAISHA


Bondia Iddi Mkwela akietoa Damu wakatiwa kampeni ya uchangiaji wa Damu Salama kwa ajili ya kuokowa Maisha  iliyofanyika katika makutano ya mtaa wa Likoma na Agrey Dare Es Salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mdungaji wa sindano kwa ajili ya utoaji wa Damu Rosemary Bulemo kutoka kitengo cha Damu Salama Kanda ya Mashariki akimchoma sindano Bondia Idd Mkwela kwa ajili ya kuchangia Damu uliofanyika katika makutano ya mtaa wa Likoma na Agrey Dar es salaam Picha na  SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wa pili kulia akiwa na Bondia Iddi Mkwela mwenye kibagarashia wakiwa na wadau mbalimbali waliojitokeza kutoa Damu ambao wapo katika kikundi cha Upendo Group kilichopo Kariakoo Dar es salaam  Picha na  SUPER D BOXING NEWS


Na Mwandishi Wetu

BAADHI YA MABONDIA wamechangia Damu kwa ajili ya kuokowa maisha mabondia hawo wanaotoka katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM wamejitolea kuchangia Damu kwa jamii kwa kuokoa maisha ya watanzania akizungumza wakati wa uchangiaji huo kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'

Amesema kuwa wameamua kuchangia Damu kwa kuwa wameona jamii nyingi inayo wazunguka ina tatizo la damu kutokana na mambo mengi ya ajali zinazotokea barabarani na wanakuwa na mahitaji mengi yanayousu Damu 

alisisitiza kuwa Super D Boxing Promotion imejizatiti kuitumikia jamii kwa mambo mbalimbali ikiwemo kuchangia Damu pamoja na kujitolea kufanya kazi za kijamii

na ndio maana tumeamua kuja kujitolea Damu kwa mabondia wangu ambao na Idd Mkwela Vicent Mbilinyi Hussein Shemdowe na Bilali Ngonyani ambao wamejitolea kutoa Damu

nae Bondia machachali Iddi Mkwela aliongeza kwa kusema kuwa ameamua kujitolea Damu ni kwa sababu ameona watu wengi wana mahitaji ya kupatiwa na ukiangalia jamii inayotuzunguka nayo ina maitaji zaidi hivyo nashauli watanzania tuwe na moyo wa kujitolea Damu ili iwe akiba mana na wewe ukipungukiwa siku yake unachukuwa bila galama kwani Damu aiuzwi popote

ni uchangiaji wa hiali kujitolea wewe mimi na yule nawaomba wanamichezo wajitolee kuchangia kwani ni moja ya sadaka zetu hapa Duniani

uchangiaji huo wa Damu ulifanyika katika makutano ya mtaa wa Likoma na Agrey ambapo zaidi ya watu 140 walijitokeza kuchangia na kupatikana lita za kutosha tu kwenye kampeni hiyo

Monday, October 1, 2018

BONDIA SUNDAY KIWALE ANOLEWA NA KOCHA SUPER D KUZIPIGA CHINA OCTOBA 15

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kusoto akimwelekeza bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'Upcat' Kiwale anajiandaa na mpambano wake utakaofanyika Octobar 15 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kusoto akimwelekeza bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' jinsi ya kupiga ngumi ya Kunyooka 'Jab' Kiwale anajiandaa na mpambano wake utakaofanyika Octobar 15 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Kelvin Majiba wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super d Coach Uhuru GYM  Kiwale anajiandaa na mpambano wake wa kimataifa utakaofanyika Octoba 15 China Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitupiana makonde na Sunday Kiwale ''Moro Best' wakati wa mazoezi yao yalyofanyika kwa Super D Coach Uhuru GYM Kiwale anajiandaa na mpambano wake utakaofanyika Octoba 15 China Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kusoto akimwelekeza bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'Upcat' Kiwale anajiandaa na mpambano wake utakaofanyika Octobar 15 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Monday, September 17, 2018

BONDIA VICENT MBILINYI AMSAMBALATISHA SAIDI KIDEDEA KWA T.K.O RAUNDI YA 4


Bondia Said Kidedea kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa Taifa Mbilinyi alishinda kwa T.K.O ya raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Said Kidedea kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndani wa Taifa Mbilinyi alishinda kwa T.K.O ya raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mbilinyi kulia akipiga ngumi ya kulia kwa Saidi Kidedea  wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mbilinyi alishinda kwa K.O raundi ya 4 Picha na SUPER D BOXING NEWS



Refarii Ramadhani Jifasto akimwinuwa mkono juu bondia Vicent Mbilinyi baada ya kumsambalatisha Saidi Kidedea kwa T.K.O ya Raundi ya 4 mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA VICENT MBILINYI NA TEAM YAKE AKIWA KATIKA PICHA YA PAMBOJA NA MPINZANI WAKE SAIDI KIDEDEA 

Friday, September 14, 2018

MABONDIA WAPIMA UZITO KUPIGANA KESHO SEPTEMBA 15 UWANJA WA NDANI WATAIFA



Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila 'Super D' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Georger Dimoso kushoto na Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga kesho jumamosi Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Georger Dimoso kushoto akitambiana na Abdallah Pazi 'Dula Mbabe' baada ya upimaji wa uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS



Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwatambulisha mbele ya wahandishi wa habari mabondia Saidi Bakari 'Kidedea'  kushoto na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumamosi ya Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Saidi Bakari 'Kidedea' kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kumaliza kupima uzito katikati ni Promota Rajabu Mhamila 'Super D baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumamosi ya Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mpambano wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Frank John kushoto na Bakari Mbede baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika uwanja wa ndani wa Taifa siku ya jymamosi Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Frank John kushoto akitunishiana misuli na Bakari Mbede wakati wa kupima uzito kwa mabondia hawo watazipiga siku ya jumamosi  Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila 'Super D' katikati akiwainuwa mikono juu mabondiaImani Mapambano kushoto na Paul Kamata baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga kesho jumamosi Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Imani Mapambano kushoto akitambiana na Paul Kamata baada ya upimaji wa uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Saidi Zungu  kushoto akitambiana na Tonny Rashidi baada ya upimaji wa uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila 'Super D' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Saidi Zungu kushoto na Tonny Rashidi baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga kesho jumamosi Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila 'Super D' katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Fred Sayunu kushoto na Haidary Mchanjo baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga kesho jumamosi Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Frdy Sayuni  kushoto akitambiana na Haidary Mchanjo baada ya upimaji wa uzito na Afya kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika Septemba 15 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS


PROMOTA WA MPAMBANO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...