Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, May 6, 2015

WAMBURA WA COASTAL UNION AKABIDHIWA HUNDI YAKE


Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi ya Vodacom ,Fatuma Abdallah (WA TATU TOKA KUSHOTO) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni moja mchezaji wa Coastal Union,Godfrey Wambura  baada ya kuibuka mchezaji bora wa mwezi wa pili mwaka huu. Kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF,Khalid Abdallah na kushoto Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Coastal Union,Salim Bawaziri jana,Picha kwa hisani ya Coastal Union.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...