Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 1, 2019

MADA MAUGO KUZIPIGA NA TWAHA KIDUKU MSAMVU MOROGORO MARCH 2


Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Amani Bariki 'Manny Chuga' kushoto akinyooshwa mkono juu na mpinzani wake Cosmas Cheka na promota wa masumbwi nchini Siraju Kaike baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika march 2 katika ukumbi wa terminal pub uliopo msamvu Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia machachali nchini Tanzania Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto kutoka Dar es Salaam Tanzania akinyooshwa mkono juu na mpinzani wake Said Chalachim kutoka Ifakala mabondia hawo watazipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal Pub ulipo msamvu Morogoro katikati ni promota wa mpambano huo Kaike Siraju

Bondia machachali nchini Tanzania Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto kutoka Dar es Salaam Tanzania akitunishiana misuli  na mpinzani wake Said Chalachim kutoka Ifakala mabondia hawo watazipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal Pub ulipo msamvu Morogoro

Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa masumbwi nchini Kaike Siraju akiwainua mikono juu bondia Ibrahimu Makubi na Chales Chilala baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal pub ulipo msamvu morogoro
BONDIA SUNDAY KIWALE 'MORO BEST' AKIPIMA UZITO
BONDIA IBRAHIMU NMAKUBI AKIPIMA UZITO

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...