Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 2, 2014

RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Fatma S. Ally alipowasili wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi
 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
  Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo
 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde "Kibajaji"
 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga
 Kikundi cha utamaduni cha Shule ya Msingi ya Msanga kikitumbuiza
 Rais Kikwete akiangalia ngoma ya Kigogo ikichezwa na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Rais Kiwkete akiwapongeza wacheza ngoma wa Shule ya Msingi ya Msanga
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Rehema Nchimbi akishauriana jambo na Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...