Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, September 30, 2014

WAJUMBE WA TUME YA UTUMISHI WA UMMA WAAPISHWA LEO NA RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha   Mabrouk Jabu Makame   kuwa Mjumbe  wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo ambapo anaendelea na kazi hiyo kwa kipindi chengine cha miaka mitatu,
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Hamid Mohamoud  Hamid kuwa Mjumbe  wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo ambapo anaendelea na kazi hiyo kwa kipindi chengine cha miaka mitatu,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Hamid Mohamoud  Hamid kuwa Mjumbe  wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar leo ambapo anaendelea na kazi hiyo kwa kipindi chengine cha miaka mitatu,
KWA MATUKIO ZAID BOFYA READ MORE

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...