Diwani wa kata ya Lugarawa wilaya ya Ludewa mkoani Iringa, Fromena Haule akipokea kombe litakaloshindaniwa katika kata yake katika mashindano ya mbunge Deo Filikunjombe wa jimbo hilo ambapo mshindi atapata kombe hilo la dhahabu na Ng'ombe mashindano kama hayo ni kwa kata zote za jimbo hilo.
No comments:
Post a Comment