
Isharaa ya Umoja ya kuilinda Nchi ya Libya ikionekana na sura ya Rais Mo'ammar Al-Gaddafi

Baadhi ya Waislam wakiwa katika viwanja vya biafra Kinondoni Dar ES salaam jana kuipinga Marekani na washirika wake kuishambulia Libya

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kutoka Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Dar es Salaam jana kwenda viwanja vya Biafra ambako kulikuwa na mkutano wa kulaani mashambulizi ya majeshi ya Marekani na washirika wake dhidi ya Libya

No comments:
Post a Comment