Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 29, 2012

MASANJA NA WAKUVANGA WA KUNZI NZIMA LA ORINGINAL COMEDY KUPAMBA TAMASHHA LA TIGO COCO BEACH KESHO

.

Msanii wa vichekesho wa kundi la Kome ZE KOMEDI nchni Tanzania Isaya Mwakilasa (Wakuvwanga) akitoa burudani ya kuchekesha mbele ya waandishi wa habari wakati wa kutangaza tamasha la Uzinduzi wa maonyesho ya sabasaba yatakayofanywa na kampuni ya Tigo kwenye Viwanja vya Coco Beach kuanzia kesho Jumamosi hadi July 1 mwaka huu, kulia ni Afisa habari wa Kampuni hiyo Alice Maro na kushoto ni Mtaalamu wa Promosheni Mahusiano na Udhamini wa kampuni hiyo.

Mtaalamu wa Promosheni, Mahusiano na Udhamini wa kampuni ya tigo Edward Shila, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu bonanza la uzinduzi wa maonyesho ya sabasaba litakalofanyika kwenye Viwanja vya Coco Beach jijini Dar es Salaa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...