Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, January 13, 2015

RIDHIWANI KIKWETE ATIMIZA AHADI, AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA CHALINZE;


 Mmasai mwenye jamii ya kifugaji Andokela Okunge akiuliza swali kwa Mbunge Ridhiwani kuhsu Jamii sivyowaendea haki wafugaji ambapo alidai kuwa mkulima anaweza kuuzi shamba halafu baadaye anageuka na kusema amedhulumia jambo ambalo si kweli.
 Mwajabu Hemedambaye ambaye nyumba yake ilibomoka, akilalamik mbele ya Mbunge Ridhiwani kuwa alipotoa taarifa y kusaidiwa ujenzi wa yumba hiyo kwa Mwenyekiti wa Kitongoji, alijibiwa kwa dhiahaka kuwa amkubalie aklale naye kwanza ndipo amsaidie.
 Mzee Msoud Mhina akilalamika mbele ya Munge Ridhiwani kuwa Serikali ya CCM imewasahau wazee kwa kutowahudumia hali ambayo inawafanya waishi maisha magumu.
 Mkazi wa Miono, Sahaban Mpwimbwi akimuomba Mbunge Ridhiwani awasaidie katika Kata ya Miono kukarabati Rambo la maji ambalo limehribika. Rambo hilo lilijengwa Enzi Rais Jakaya Kikwete akiwa mbunge wa jibo la Chalinze.
 Ridhiwani akijadiliana jambo Diwani wa Kata ya Miono Senguli Mbele huku kwaya Kijiji ikitumbuiza na kutoa maneno ya matatizo yaliyopo katika Kituo cha Afya ch Miono ikiwemo kukosekana kwa chumba cha upasuaji ka waja wazito.
 Ridhiwani akisalimiana na wazee wa Miono
 Wafugaji wakijadiliana jambo a Mbunge Ridhiwani mjini Miono.
 Ridhiwani akisalimiana na watoto alipowasili katika Kijii cha Kweynkonje, Kata ya Miono
 Sehemu ya wananchi walihudhuria mkutano katika Kijiji cha Kweynkonje

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...