Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 3, 2012

MKUTANO MKUU WA WANAHISA NMB



  Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga (kulia) akibadilishana mawazo na Maofisa wa NMB kabla ya Mkutano Mkuu wa Wanahisa uliofanyika jijini Dar es Salaam.
 Ofisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Mark Wiessing akizungumza na Mkuu wa Mahusiano na Jamii wa NMB, Shy-Rose Bhanji na Mwanasheria wa NMB, Lilian Komwihangiro. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga (kulia) akibadilishana mawazo na Maofisa wa NMB,  Albert Jonkergouw (kushoto) na Protase Tehingisa wakati wa mkutano huo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...