Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 24, 2015

BALOZI MISS KILIMANJARO KUTAFUTWA MWEZI UJAO KATIKA UKUMBI WA KILI HOME RESORT

Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika julay 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika pozi wakati wa utambulisho wa mashindano hayo
Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika julay 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika pozi wakati wa utambulisho wa mashindano hayo

Mlatibu wa mashindano ya urembo ya Kilimanjaro Ambassador Jacqueline Chuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mchuano huo utakaofanyika katika ukumb wa Kili Home Resort

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...