Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 4, 2015

BONDIA FRANSIC MIYEYUSHO KUPANDA ULINGONI KUMKABILI MGANDA JUNE 13


 

Na Mwandishi Wetu

BONDIA Fransic Miyeyusho  'Chichi Mawe' atapanda tena ulingoni june 13 katika ukumbi wa Fruends Corner manzese kuzidunda na Mbaraka Seguye wa Uganda katika mpambano wa raund nane uzito wa Frather Weight

bondia huyo mkongwe alimweleza mwandishi wa habari hizi kuwa sasa yupo fiti na matalajio yake kumpiga kwa K,O mbaya sana mgnda uyo ya raundi ya sita aliwashukuru baadhi ya wadau mbalimbali waliompatia sapoti ya kmbi yake akiwemo Evans Shayo ambaye ni mfanya biashara maarufu wilaya ya Kinondoni kwa kumudumia kambi yake ya maandalizi na Group Agent pamoja wadau wa Ze Bonga waliopo Kinondoni

bondia huo anaingia ulingoni akiwa na kumbukumbu ya kupigwa kwa point na Fadhili majia katika mpambano uliofanyika feb 28

ata hivyo aliwapa uwakika zaidi wa kushinda mpambano uho wa raundi nane katika mpambano uho kuta kuwa na mpambano mwingine wa kimataifa utakaowakutanisha bondia Haji Juma wa Tanga atakae pambana na  Remmy Igga wa Uganda mpambano wa raundi sita Bantam Weight na mpambano mwingine utawakutanisha 

bondia Mada Maugo na Jacobo Maganga katika uzito wa KG 76 mpambano wa raundi kumi Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...