Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, March 13, 2016

NGUMI ZILIVYOPIGWA VIGAE CLASSIC MBAGALA ZAKHEM


Bondia Selemani Galile kulia akimshambulia kwa makonde bondia Ambokile Chusa wakati wa mpambano wao uliofanyika jana jumamosi katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem mpambano uhuo wa raundi sita ulimalizika kwa droo Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Mwinyi Muhina kulia akipambana na Godfre Sadiq wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika ukumbi wa vigae classic mbagala zakhem Sadiq alishinda kwa point Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Karage Suba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Pius Kazaula wa Morogoro mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic mbagaa zakhem Kazaula alishinda kwa T.K.O ya raundi ya pili baada ya Suba kusalimu amri kwa kunyoosha mikono juu Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Karage Suba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Pius Kazaula wa Morogoro mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic mbagaa zakhem Kazaula alishinda kwa T.K.O ya raundi ya pili baada ya Suba kusalimu amri kwa kunyoosha mikono juu Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Joseph Sinkala wa Mbeya wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem Maokola alishinda kwa point mpambano uho  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Joseph Sinkala wa Mbeya akipokea kipondo kutoka kwa Ibrahimu Maokola wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem  Maokola alishinda kwa pointPicha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Joseph Sinkala wa Mbeya wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem Maokola alishinda kwa point mpambano uho  Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...