Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 4, 2016

Wateja wa Fastjet kununua tiketi za usafiri kupitia Airtel Money


Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya (kulia), akipongezana na Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse baada ya Airtel na Fastjet kuingia ubia wa kibiashara utakaowawezesha  Wateja wa Fastjet kununua tiketi za usafiri kupitia Airtel Money, katika  hafla ya uzinduzi iliyofanyika jana katika ofisi za Airtel makao makuu Morocco jijini Dar es Salaam. Katikati ni  Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa. 
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya (katikati), akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya kununua tiketi za ndege za Fastjet kupitia Airtel Money. (kushoto) Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse (kulia) ni Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa.
Meneja Mkuu wa Fastjet Tanzania, John Corse (kushoto)  akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa ushirikiano kati ya Fastjet na Airtel utakaowawezesha  Wateja wa Fastjet kununua tiketi za usafiri kupitia Airtel Money. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya na  Meneja wa Airtel Money, Asupya Naligingwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...