Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 21, 2016

SUPER D AENDELEA KUWANOWA VIJANA KATIKA MCHEZO WA MASUMBWI


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwafundisha jinsi ya kutupa makonde mabondia Isihaka Lusinde  wa pili kushoto, Castory Manjulungu na Miraji Issa wakati wa mazoezi yao yanayofanyika katika GYM ya Uhuru iliyopo kariakoo Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbi ncgini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwafundisha jinsi ya kutupa makonde mabondia Isihaka Lusinde  kushoto, Castory Manjulungu na  naMiraji Issa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia chipkizi Castory ManjulunguPicha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini akiwasimamia kwa makini mabondia Mohamed Muhuzi kushoto na Yusufu Bahati wakati wakiwa mazoezini Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...