Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, May 29, 2010

ALLY CHOKI AFANYA MAKUBWA NA KUAIDI MASHABIKI KUENDEREA KUITUMIKIA EXTRA BONGO MPAKA MWISHO


Ali Choki aliingia na staili ya aina yake ndani ya ukumbi wa Msasani Club jana usiku tayari kwa utambulisho wa Bendi yake ya Extra Bongo. Baadae staili hiyo ilikuja kujulikana kama Igwee...! Choki haishi Vituko, Ni Burudni yaani kushangweka tu kila mtu kwa raha zake!
(Picha zote kwa hasani ya blogu ya www.mjengwa.blogspot.com )

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...