Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 17, 2010

TIMU YA NGUMI YA TAIFA YAANZA KAMBI


mazoezi ya ngumi yanenderea mpaka kieleweke


Wachezaji wa timu ya Taifa ya ngumi wakifanya mazoezi leo katika uwanja wa ndani wa Taifa DAr es salaam kujiandaa na mashindano mbalimbali


Kocha wa Timu ya ngumi ya Taifa kikosi B Mazibwo Alli kushoto akiwaelekeza mabondia walioingia katika kambi ya timu ya taifa kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa na mashindano mbalimbali ya kimataifa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...