Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, May 31, 2010


wanafunzi wakikabidhiwa vifaa na muganyizi muta wa zain

meneja Mahusiano wa Kampuni ya Zain, Muganyizi Mutta (kushoto) akimkabidhi makamu mkuu wa chuo kikuu Muhimbili 'MUHAS' Prof.Bakari Lembariti seti ya kompyuta pamoja na vitabu mbalimbali Dar es salaam jana vitu hivyo vimekabidhiwa baada ya kushiriki mashindano ya Africa Chalenge yatakayomalizika hivi karibuni kulia ni Mshauri wa wanafunzi Dkt. Ambrose Haule.(Picha na Rajabu Mhamila)

Wawnafunzi wa chuo kikuu cha muhimbili wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali
Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Zain, Muganyizi Mutta (kushoto) akimkabidhi makamu mkuu wa chuo kikuu Muhimbili 'MUHAS' Prof.Bakari Lembariti seti ya kompyuta pamoja na vitabu mbalimbali Dar es salaam jana vitu hivyo vimekabidhiwa baada ya kushiriki mashindano ya Africa Chalenge yatakayomalizika hivi karibuni

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...