Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 26, 2011

BONDIA CHEKA AMDUNDA MKENYA KWA POINT

Bondia Francis Cheka akinyoshwa mkono juu na Refarii Omari Yazidu katikati wakati wa kutangaza mshindi picha na SUPER D BOXING COACH
Bondia Daniel Wanyonyi kushoto akitupa ngumi kwa bondia Cheka jana katika uwanja wa Jamuhuru Morogoro picha na Super D Boxing Coach

Bondia Wanyonyi akiendelea na Mashambulizi wakati wa mpambano uliofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro jana Cheka alishinda kwa point picha na Super D Boxing Coach
Asikali polisi wakimalisha ulinzi mkali uku wakiwa na mabomu ya kutoa machozi jana picha na Super D Boxing Coach

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...