Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 26, 2011

MWANAMUZIKI SHAGGY ATUA JIJINI MWANZA TAYARI KWA SERENGETI FIESTA CCM KIRUMBA KESHO




Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani, akimkaribisha Mwanamuziki Shaggy kutoka nchini Marekani wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza, tayari kwa onyesho lake kabambe litakalofanyika katika tamasha la Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Kesho.

Shaggy akipiga picha na warembo wawili mara baada ya kukabidhiwa ua kama ishara ya kumkaribisha wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.

Meneja wa kinywaji cha Serengeti Lager Allan Chonjo akisalimiana na mwanamuziki Shaggy mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.

Mtangazaji wa Clouds Rubeny Ncha kali akifanya mahojiano na mwanamuziki Shaggy mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza.

Mwanamuziki Shaggy akipozi kwa picha na warembo wa mwanza mara baada ya kwasili jijini huo leo mchana.

Mkurugenzi wa Clouds Entertainment Bw. Joseph Kusaga akimuongoza mwanamuziki Shaggy kutoka nchini Marekani mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.


http://fullshangwe.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...