
Kocha wa mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli akiwaelekeza vijana toka klab mbalimbali jinsi sheria za mchezo wa ngumi zinavyokua wawapo ulingoni michuano ya mchezo wa ngumi inatarajiwa kulindima kesho jumapili katika ukumbi wa panandi panandi Ilala Bungoni

Babondia wakiwa katika picha ya pamoja na makocha wao wakati wa upimaji wa uzito kabla ya kupambana kesho

upimaji wa uzito ukiendelea


Baadhi ya mabondia wakiwa makini kumsikiliza kocha wa mchezo wa ngumi wakati wa kupima na kuelekezwa sheria za mchezo wa ngumi
No comments:
Post a Comment