Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, October 12, 2011

MNYIKA ASAPOTI BONANZA LA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI TP SINZA JIJINI DAR.


Mbunge wa Jimbo la Ubungo,John Mnyika akiwa Uwanjani tayari kwa kucheza Bonanza kwenye Uwanja wa TP Sinza Darajani Jijini Dar es Salaam lililoandaliwa na waandishi wa habari za michezo na Burudani
Mchezaji wa Klabu ya Yanga ,Tery Tegete katikati akiwa na wadau wa TP Sunday Bonanza alipotembelea kuona Bonanza hilo mwishoni mwa wiki

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...