Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 2, 2011

MAFURIKO MWANANYAMALA KISIWANI,MTO NG'OMBE WAACHA NJIA JIJINI DAR ES SALAAM.


Wakazi wa Mwananyamala wakivuka Mto Ng'ombe kwa tabu ulioacha njia yake na kutengeneza njia nyingine baada ya mvua kunyesha maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam.Wakivuka kwa taabu
Wanafunzi na watu wazima wakivuka kwa hofu
Ni hatari ......
Hatariii hii kwa Watoto
Tazama watoto wako peke yao ni hatari hii

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...