| Kushoto ni Rajab Marijani Program Manager wa Spoti Kizaazaa Juma Simba na Haika Mrema kutoka Right Click Production katika maandalizi kuanza kurekodi Kizaazaa,Tcc Club Chang'ombe. |
| Kutoka kushoto ni Mdau wa michezo nchini ABdulrahman Kipenga, na wapili kutoka kulia ni Keneth Mwaisabula Kocha wa kandanda nchini. |
| Wadau wa michezo kutoka sehemu mbalimbali walikuwepo |
| Mwanadada Aliyekuwa mchezaji mahiri wa netball |
| Juma Simba Mdau wa Michezo nchini akifurahi jambo wakati Cliford Mario Ndimbo kulia akiingia Tayari kuungana na wanakizaazaa katika kutoa yaliyo moyoni mwao. |
| Mwl. Mkuu wa Twiga Secondary School iliyopo Tegeta wazo Hill Zainab Mbiro ni Mdau na mwanaharakati katika kuhakikisha michezo nchini inafanya vizuri naye alikuwepo. |
| Keneth Mwaisabula Kocha wa kandanda nchini akielezwa jambo na mwana Spoti kizaazaaa(hayupo pichani) |
| wadau wa michezo nchini wakiwa katika Spoti kizaazaa-Tcc Club Chang'ombe |
No comments:
Post a Comment