Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, August 28, 2010

KANISA LA ASSEMBLIES OF GOD KUFANYA IBADA MAALUMU KESHO


Mchungaji wa kanisa la Mikocheni Assemblies of God,Getrude Rwakatare akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapi pichani) uliofanyika jijini Dar es Salaam, leo kuhusu maandalizi ya ibada maalumu ya kuombea Uchaguzi Mkuu itakayofanyika kesho katika kanisa hilo. Uchaguzi Mkuu wa Urais,Wabunge pamoja na Madiwani utafanyika Oktoba 31. Kulia ni Mchungaji wa Msaidizi, Dk. Stephen Mutyetumo .
(Picha na Francis Dande)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...