Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 27, 2010

MISS TANZANIA WATEMBELEA VODA COM ARUSHA


Mkurugenzi wa Vodacom wa Kanda ya Kaskazini, Nguvu Kamando (wapili kulia) na Mtaalam wa Habari wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) pamoja na warembo wa Vodacom Miss tanzania 2010 wakiangalia namna teknolojia ya mawasiliano kwa kutumia Video inavyofanya kazi wakati warembo hao walipotembelea ofisi za Vodacom kada ya Kaskazini mjini Arusha leo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...