Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, August 17, 2010

MGOMBEA UDIWANI ACHUKUWA FOMU




Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi Kata ya Kivukoni Bw.Harold Uiso kushoto akimkabidhi fomu ya kugombea Udiwani wa Kata hiyo kupitia CCM , Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Didas Masaburi Dar es
Mgombea nafasi ya Udiwani kupitia CCM Bw. Didas Masabuli akipokea fomu ya kuwania nafasi hiyo kutoka kwa Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi wa Kata ya KIvukoni DAr es salaam leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...