Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, July 25, 2016

BONDIA IDDI MKWELA ALIVYO MSAMBALATISHA MWITA MACHAGE K.O RAUNDI YA KWANZA









Bondia Mwita Machage kushoto akipambana na Iddi Mkwela wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza katika mpambano huo Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Mwita Machage kushoto akipambana na Iddi Mkwela wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza katika mpambano huo Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Iddi Mkwela kushoto akimshambulia Mwita Machage kwa makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda K.O ya raundi ya kwanza ya mpambano uho Picha na SUPER D BOXING NEWS
Refarii Saidi Chaku akimnyoosha mkono juu bondia Iddi Mkwela baada ya kumdunda kwa K.O ya raundi ya kwanza Mwita Machage kushoto ni bondia Vicent Mbilinyi Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifuraia baada ya bondia Iddi Mkwela kusinda kwa K.O ya raundi ya kwanza wakati wa mpambano wake uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifuraia baada ya bondia Iddi Mkwela kusinda kwa K.O ya raundi ya kwanza wakati wa mpambano wake uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kushoto ni Sako Mwaisege 'Dungu' Picha na SUPER D BOXING NEWS
kabla ya mpambano kuanza

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...