Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, January 21, 2011

LIFT YAKWAMA KATIKA JENGO LA MWALIMU HOUSE





Polisi wakiendelea na kuimalisha usalama katika jengo la Mwalimu House Ilala Dar es Salaam baada ya kukwama kwa lifti masaa manne ikiwa na watu ndani jana
Mmoja ya waliokolewa katika lifti ya gorofa ya Mwalimu House iliyopo Ilala Dar es salaam jana akipunga mkono juu kuashilia anashukulu kwa kutoka salama kwenye lifti hiyo iliyokwama kwa mda wa masaa manne

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...