SHIRIKA LA HABARI TANZANIA (SHIHATA) MBEYA LIPO? AU MABANGO TU NA MADUKA YA BIASHARA
Hili ni jengo la shirika la habari Tanzania miaka hiyo ya nyuma kwa sasa haeleweki mmiliki wake na nani anachukua pango la maduka hayo imekua ni kitendawili
Hivi ndivyo Jengo lilivyo choka hakuna anaejali hata kidogo na haijulikani lipo chini ya nani paka muda huu na linaendelea kuoza kadili siku zinavyo sogea.
No comments:
Post a Comment