Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 27, 2010

MISS ILALA HUYU HAPA SI MWINGINE NI BAHATI CHANDO


Miss Ilala 2009,Sylivia Shally akimvisha Taji mrithi wake,Bahati Chande usiku wa kuamkia leo mara baada ya kuibuka mshindi na kulinyakua taji la Miss Ilala 2010, katika ukumbi wa Ubungo Plaza,

Miss Ilala 2010 Bahati Chando akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Consolata Lukosi na Mshindi wa tatu na Salma Mwakalukwa mshindi wa pili mara baada ya kutangazwa kuwa washindi wa shindano la miss Ilala lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Ubungo Plaza Dar es Salaam,
WAREMBO wa tano BORA Miss Ilala wakiwa katika picha ya pamoja katikati ni Miss Ilala Bahati Chando Consolata Ulkosi mshindi wa pili kulia na mshindi wa pili Salama Mwakalukwa kushoto wengine kulia ni Neema Alen mshindi wa tano na Ummy Mohamed mshindi wa nne.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...