Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, June 29, 2010

UHOLANZI YATINGA 8 BORA


Wachezaji wa Uholanzi wakimpongeza Arjen Robben baada ya kuifungia timu yake bao dhidi ya Slovakia katika mechi ya hatua ya 16 bora iliyochezwa kwenye Uwanja wa Moses Mabhida mjini Durban, jana. Uholanzi ilishinda bao 1-0.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...