Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, July 3, 2010

MISS UTALII WATOA ELIMU WA ZAO LA MLONGE


Mrembo wa utalii wa mkoa wa Dar es Salaam, Sophia Dio, akimwelekeza mteja jinsi ya kutumia dawa iliyotengenezwa kwa mitishamba, wakati wa maonyesho ya 34 ya Biashara yanayoendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini.
Kutoka (kushoto) ni Edina Andrew, Latifah Bakari na Pendo Ernest wakiwa katika banda jingine la vitu asilia wakipanga na kusubiri wateja.

Warembo Marry Nguma (kulia) na Grace Lucas, wanaotarajia kushiriki katika kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Utalii wa Taifa wa mwaka 2010-2011, wakiwa katika Banda la kuuza vipodozi na dawa, wakitoa maelezo kwa mteja aliyefika katika banda hilo la Makai Moringa (Mlonge). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo ya Makai Moringa Enterprises, Eileen Kasubi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...