Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, July 4, 2010

NCCR MAGEUZI WATANGAZA MGOMBEA URAIS ZANZIBAR


Mgombea urais kupitia tiketi ya chama cha NCCR MAGEUZI ZANZIBAR Bw. Haji Ambar Khamis

Hamisi Dambaya wa Mlimani tv akizungumza na viongozi wa NCCR MAGEUZI
Katibu wa Idara ya Oganaizesheni, Kampeni na Uchaguzi wa NCCR Mageuzi. Bw,Faustin Sungura (kulia) akimkabidhi fomu Mgombea Urais kupitia chama hicho Bw. Haji Ambar Khamis Dar es salaam jana katikati ni Katibu wa Idara ya Itikadi na Mafunzo Bw, George Kahangwa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...