Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, July 3, 2010

MREMBO ALICE LUSHIKU AWA MISS KINONDONI


Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo
Miss Kinondoni 2010 Alice Lushiku akiwa katika picha ya pamoja na warembo wenzake baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Konondoni lililomalizika Dar es salaam jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, kulia ni mshindi wa pili Amisu Malick na mshindi wa tatu ni Irene Hezron na wa nne Edna Kwisasa na tano Carolene Mbembo
Alice Lushiku akijibu swali
Irene Helron akijibu swali
Edna Kwisasa akijibu swali

Caroline Mbembo akijibu swali wakiti wa onesho hilo ata hivyo alichemka kujibu baada ya kutaja mbuga ya Serengeti ni Mlima mkubwa alichemka vibayaa sanaaa
warembo walioingia 5 bora
Warembo 11 walioshiliki kinyanganyiro cha kumtafuta miss kinondoni wakiwa katika picha ya pamoja
mrembo mwenye kipaji cha kucheza akicheza

Carolene Mbembo mrembo mwenye kipaji cha kuimba
ISSA MNALI AKIWA KAZINI

kamati ya miss Ilala wakiwa na warembo wa Ilala

wadau wa urembo warikuwepo Selemani Mbuguni na Khadija khalili
Miss Temeke walikuwepo kuangalia mchuano huu klabla ya kufanyika mashindano yao Ijumaa

wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta wakiwajibika jukwaani

Suzan Chubwa Queen Suzi akifanya vitu vyake wakati wa kumtafuta Miss Kinondoni

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...