Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 30, 2010

Wilbrod Slaa AKIWA KATIKA MKUTANO


Mgombea wa urais wa Jamhuri wa Muungano kupitia Chama cha Deomkrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa, akiwahutubia maelefu ya wakazi wa mji wa Arusha, ambao walijitokeza kumdhamini, katika Uwanja wa NMC leo. Picha kwa hisani ya Joseph Senga

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...